Wednesday, September 19, 2018

MASHINE KUBWA YA KISASA YA KUTOTOLESHEA MAYAI YA KUKU

MASHINE kubwa ambayo ina uwezo wa kutumia umeme wa Kawaida na Soral Systerm hiimashine ina geuza mayai yenyewe.

uuwezo wa mayai ni 48-300


Hizi mashine zipo zinazoanzia mayai 48-300

Thursday, August 24, 2017

UPATIKANAJI WA FURSA NA BIASHARA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA MKOANI KWAKO

UPATIKANAJI WA FURSA NA BIASHARA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA MKOANI KWAKO.
TAFADHALI TUSHIRIKANE KUKUZA UCHUMI WETU HAPA NCHINI

Wednesday, August 23, 2017

UTUNZAJI WA KUKU NA MAGONJWA

Tunafahamu kwamba magonjwa ndio chanzo kikubwa cha kukatisha ndoto za mfugaji kutokana na ughali wa bei za dawa au vifo vinavyosababishwa na magonjwa hayo. Lakini upo uwezekano wa kuyaepuka hayo ikiwa tutazingatia yafuatayo kwa uangalifu mkubwa:-


  • Chanja kuku dhidi ya magonjwa mbalimbali yasiyotibika kama vile mdondo, gumboro na ndui.
  • Usifuge kuku na ndege wengine kama vile bata, kanga au kwale katika banda moja. Pia usichannganye kuku wa asili na wa kisasa katika banda moja, yaan kwa mfano usichanganye kuku wa nyama(broilers) na kuku wa asili.
  • Usirudishe nyumbani kuku waliopelekwa sokoni wakakosa soko kwani wanaweza kuleta magonjwa.
  • Ondoa kuku wote wenye dalili za ugonjwa na uwatibu kwa dawa husika, na waliokufa wazike au wachome moto.
  • Watenge kuku wageni kwa takribani wiki mbili kabla ya kuwachanganya na wa zamani.
  • Usafi wa banda, vyombo vya maji na kulishia, na muhudumu ni vya kuzingatia pia.
  • Zuia watu wasiohusika, au ndege kuingia au kukaribia banda.
  • Kuwepo mavazi na viatu maalum vya kuingilia bandani.
  • Mlangoni kuwekwe dawa ya kuulia vijidudu kwa ajili ya kukanyaga kabla ya kuingia bandani.
  • Banda lipumzishwe wiki mbili kabla ya kuingiza kuku wapya.
  • Wape kuku chakula bora na maji safi na salaama. Maji safi na salaama ni yale ambayo hata wewe mfugaji unaweza kuyanywa.




https://drive.google.com/file/d/0B_gpXEIUPoorUi1PTmdncXc5WDQ/view?usp=sharing
PATA KITABU HAPA

Monday, January 16, 2017

NUNUA VIFAA MUHIMU SANA VYA UFUGAJI WA KUKU


Inaonyesha IMG_20161130_114127.jpg

Tunauza mashine za kutotolesha,cage za kufugia kuku,mashine za kutengeneza chakula cha kuku na Samaki,taa za joto kwa akili ya vifaranga,vifaa vya kupimia joto,mashine za kunyonyoa kuku kwa bei nafuu zaidi sana n.k
AFI GREEN EQUIPMENT CO LTD 

Tunapatikana Dar es salaam,Mikocheni Victoria.Tupigie kwenye
namba 0624 181 003 au 0757 117 699.
Tunatuma mizigo nchi nzima na tunawafikia Wateja nchi nzima kwa uaminifu na uadilifu


Inaonyesha IMG_20170116_093525.jpg

Inaonyesha IMG-20161219-WA0008.jpg


Inaonyesha IMG_20170113_132439.jpg

Inaonyesha IMG_20170113_132154.jpg


Inaonyesha IMG_20170111_172433.jpg


Inaonyesha IMG_20161130_114127.jpg


Inaonyesha IMG_20170111_170605.jpg


Pia mawasiliano zaidi na ushauri zaidi:

0767 574 013

Wednesday, November 16, 2016

JINSI KIFARANGA KINAVYO TOTOLEWA KUTOKA SIKU 1-21 KUTOKA

TAFADHALI REJEA HII


JIFUNZE HII

                                                                  

UANDAAJI WA CHAKULA CHA KUKU

RLDC na Uboreshaji wa Maisha Vijijini Shirika la Rural Livelihood Development Company (RLDC ni moja ya mafanikio ya ushirikaiano kati ya Tanzania na Uswisi kwenye mchakato wa kupambana na umaskini na kuboresha maisha ya jamii za vijijini. Hii ni taasisi isiyo ya kibiashara ili yoanzishwa mwaka 2005 na mashirika ya Intercooperation na Swisscontact, lengo kuu likiwa kutekeleza Programu ya kuendeleza maisha ya jamii za vijijini (RLDP). Programu hii inasha bihiana na Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupambana na Umaskini (MKUKUTA). Dhamira kuu ya RLDC ni Kuendeleza/kuboresha mifu mo ya masoko ili kuwawezesha wazalishaji wa vijijini kutumia fursa zilipo kuboresha maisha yao. Kwa sasa, RLDC inatelekeleza awamu ya pili ya mpango wake (2008-2011) na inaweka msukumo zaidi kwenye uendelezaji wa mifumo ya masoko. RLDC inafanya kazi katika mikoa sita ya Kanda ya kati-Dodoma, Singida, Morogoro, Shinyanga, Tabora, na Manyara. Jamii nyingi maskini zinaishi katika ukanda huu wenye sehemu kubwa yenye hali ya mvua chache na nusu jangwa inayostawisha shughuli chache za kiuchumi. Hata hivyo kuna fursa nyingi sana zinazoweza kutoa ajira na kuboresha ya jamii zake. RLDC inafadhiliwa na Serikali ya Uswisi kupitia shirika la Uswisi la maendeleo (SDC). Kwa sasa RLDC inawezesha sekta za pamba, alizeti, maziwa, ufugaji wa kuku wa kienyeji, mpunga na habari kupitia vipindi vya redio kwa ajili ya wazalishaji wa vijijini. “RLDC inaboresha mifumo ya masoko ili kuwezesha wazalishaji wa vijijini kuinua maisha yao”